Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki

At least 32 dead after flash floods in Kenya

People gather at an area flooded by the Gitathuru river water, a day after it overflowed and broke its banks due to heavy rainfall damaging surrounding neighborhoods, in the Mathare slums, Nairobi, Kenya, 25 April 2024. Source: EPA / Daniel Irungu/EPA/AAP Image

Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.


Idadi mpya ya vifo kupitia mvua nzito na mafuriko tangu mwezi ulio pita, imefika watu 140 wakati maelfu zaidi wame hamishwa na mafuriko katika nchi zingine za Afrika Mashariki.

Msemaji kutoka serikali ya Kenya amekana madai kuwa mamia ya watu wamefariki na amesema takwimu rasmi ya vifo kufikia Jumamosi 27 Aprili 2024 ilikuwa watu 76.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now