Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mageuzi makubwa ya uhamiaji wa Australia yawalenga wanafunzi wakimataifa

UNSW

NSW Üniversitesi Source: SBS

Serikali ya shirikisho imewasilisha mageuzi kadhaa viza za wanafunzi wakimataifa, kama sehemu ya mageuzi makubwa ya uhamiaji yaliyo tangazwa Jumatatu 11 Disemba.


Mkakati huo wa miaka kumi, unalenga kupunguza nusu ya uhamiaji wa jumla, wakati huo huo unawavutia wafanyakazi wenye ujuzi mwingi pamoja na wafanyakazi muhimu.

Serikali imekuwa chini ya shinikizo kuhusu mgogoro wa gharama ya maisha na, uwezo wa kumudu nyumba unazidi kuwa mbaya.

Kati ya wasiwasi huo, serikali imezindua mpango wake wa mkakati mpya wa uhamiaji.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now