Mahakama kuamua hatma ya mchakato wa BBI nchini Kenya

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI Source: PSCU

Mahakama ya rufaa nchini Kenya imeamuru mchakato wakubadili katika wa BBI isikizwe 2 Juni 2021, wahusika wote katika kesi hiyo wakitakiwa kufika mahakamani.


Mawakili wameomba mahakama hiyo ifutilie mbali uamuzi wamahakama kuu, uliosema sheria na katiba haziku fuatiliwa, pale mchakato wa BBI ulipozinduliwa na Rais Kenyatta na Bw Odinga.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service