Mahakama ya rufaa nchini Kenya imeamuru mchakato wakubadili katika wa BBI isikizwe 2 Juni 2021, wahusika wote katika kesi hiyo wakitakiwa kufika mahakamani.
Mawakili wameomba mahakama hiyo ifutilie mbali uamuzi wamahakama kuu, uliosema sheria na katiba haziku fuatiliwa, pale mchakato wa BBI ulipozinduliwa na Rais Kenyatta na Bw Odinga.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






