Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mahakama yazima ndoto ya Edgar Lungu

Rais mstaafu wa Zambia Edgar Chagwa Lungu.jpg

Mahakama ya katiba ya Zambia imesikiza ombi la Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Chagwa Lungu lakupewa ruhusa yakuwania urais wa taifa hilo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mahakama ya katiba ya Zambia imesikiza ombi la Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Chagwa Lungu lakupewa ruhusa yakuwania urais wa taifa hilo.


Licha yaku ingia mahakamani akiwa na matumaini yakupata hukumu nzuri kwa kesi yake, Bw Lungu na wafuasi wake wame elezea masikitiko yao kwa uamuzi wa mahakama hiyo kumzuia kuwania wadhifa wake wa zamani.

Katika hukumu yake mahakama ilisema Bw Lungu hastahiki kuwania urais wa Zambia kwa sababu ame hudumu tayari kwa mihula miwili. Mhula wakwanza ukihesabiwa kuanza 2015-2016 baada ya Bw Lungu kurithi wadhifa huo kutoka hayati Michael Sata aliye aga dunia akiwa madarakani.

Mahakama imesema muhula wa pili wa Bw Lungu uli anza Septemba 2016 hadi Agosti 2021.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now