SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo:Australia inakabiliwa na 'tsunami ya uharibifu' mkubwa kutokana na mlipuko wa virusi vya homa ya ndege H5

Mutton Birds in Victoria
Mutton Birds in Victoria Source: Flickr / Flickr/Ed Dunens

Jimbo la Kusini Australia huenda linakabiliwa na tukio la kwanza la vifo vingi vya wanyamapori nchini Australia linalohusishwa na homa ya ndege ya H5N1.


Published

By Tee Mitchell

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Jimbo la Kusini Australia huenda linakabiliwa na tukio la kwanza la vifo vingi vya wanyamapori nchini Australia linalohusishwa na homa ya ndege ya H5N1.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Zaidi ya ndege 80 wakubwa waliokufa wamepatikana kwenye kisiwa kilicho karibu na pwani ya Kusini Australia.

Kitaifa, serikali inasema virusi hivyo haviwezi kutokomezwa tena.

Ingawa hatari kwa afya ya binadamu bado ni ndogo, spishi za asili zinaweza kuathiriwa vikali.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now