Mamia ya maelfu ya watu watapoteza msaada kutoka NDIS, baada ya mabadiliko yanayolenga kupunguza ukuaji katika mpango huo kupitishwa ndani ya Seneti kwa uungwaji mkono wa Upinzani wa Mseto usiku wakuamkia.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mabadiliko hayo yalipingwa na chama cha Greens, baadhi ya wabunge huru, na watetezi wa ulemavu ambao wanasema mchakato huo uliharakishwa, na utasababisha madhara.
Zana muhimu ya tathmini inayosimamia mabadiliko hayo bado inatengenezwa, huku majimbo na wilaya zikijiandaa kuchukua jukumu kubwa la kutoa usaidizi.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





