Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Makala leo: Maumivu ya madereva katika vituo vya petroli yanaweza endelea kwa muda

Petrol station in Sydney.

Petrol station in Sydney. Source: Getty / Getty Images/Artit Fongfung/EyeEm

Tangazo la kusitisha mapigano Mashariki ya Kati linaonekana kupunguza maumivu ya madereva katika vituo vya petroli, Iran ikikubali kuruhusu meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.


Published

Updated

By Rayane Tamer, Tee Mitchell

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Tangazo la kusitisha mapigano Mashariki ya Kati linaonekana kupunguza maumivu ya madereva katika vituo vya petroli, Iran ikikubali kuruhusu meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.


Lakini hata kama kusitisha mapigano kutadumu, kuna uwezekano kupunguzwa kwa bei ya petroli kutachukua muda, na usumbufu katika masoko ya kimataifa unaweza dumu kwa muda mrefu.

Serikali inahimiza tena utulivu, ikisema usambazaji wa mafuta uko salama hadi Mei, na inafanya kazi ya kuongeza usambazaji kutoka kwa washirika wayo wa kimataifa.

Polisi katika mamlaka mbalimbali wanaonya kuhusu ongezeko kubwa la wizi wa mafuta wakati mgogoro wa mafuta ukizidi kupamba moto - lakini huenda bei ya mafuta ina karibia kupungua.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now