SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo: Mrundikano wa visa za wenza unao waacha waaustralia katika sintofahamu

Amir Bukhari speaks to his wife

Mchakato mpya wa kipaumbele ambao unaweza fanya baadhi ya raia wa Australia, wasubiri kwa muda mrefu zaidi kwa wenzi wao kupokea visa umesababisha ukosoaji.


Published

Updated

By Angelica Waite, Jasmine Kassis

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Mchakato mpya wa kipaumbele ambao unaweza fanya baadhi ya raia wa Australia, wasubiri kwa muda mrefu zaidi kwa wenzi wao kupokea visa umesababisha ukosoaji.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mrundikano wa maombi ya visa umekuwa ukiongezeka huku serikali ya Labour ikikabiliwa na shinikizo la kupunguza uhamiaji wake wa nje ya nchi.

Wahamiaji wengi wanasubiri maelezo zaidi kuhusu mageuzi ya uhamiaji ya Serikali, hofu ikiwa kwamba inaweza kufanya mchakato huo kuwa mgumu zaidi.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now