SKIP TO MAIN CONTENT

Makala Leo: Unachohitaji kujua kuhusu magonjwa ya msimu huu wa masika

Experts say vaccines remain the most effective way to prevent serious illness

Australia inapo ingia katika majira ya kuchipua, wataalamu wanawasihi watu wasiache kujilinda dhidi ya magonjwa ya msimu.


Published

By Yasmine Alwakal, Mikele Syron

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Australia inapo ingia katika majira ya kuchipua, wataalamu wanawasihi watu wasiache kujilinda dhidi ya magonjwa ya msimu.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Magonjwa ya kupumua yanaendelea kuenea miongoni mwa watu, huku viwango vya juu vya chavua ya majira ya kuchipua vikitarajiwa pia kusababisha dalili za pumu na mzio.

Majira ya kuchipua huleta hali ya hewa ya joto, maua yanayochanua na mgeni wa msimu ambaye hakaribishwi sana: virusi vinavyoendelea kwa muda mrefu.

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now