Waziri Mkuu Anthony Albanese ameweka ratiba kabambe ya mkataba mpya kamili na Visiwa vya Solomon, akisema angependa kuuona ukikamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Ni sehemu ya harakati za kidiplomasia katika eneo lote, kufuatia mikataba ya kihistoria na Fiji, PNG, Vanuatu na Indonesia.
Hili linakuja huku kukiwa na wasiwasi unaoongezeka kuhusu jukumu la China katika eneo hilo - uliosisitizwa wiki hii na mazoezi ya kijeshi.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






