Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Yaliyojiri Afrika: Usalama waimarishwa katika mitaa ya Tanzania

Jeshi la polisi Tanzania mazoezini
Jeshi la polisi Tanzania mazoezini Credit: The East African

Usalama unaendelea kuimarishwa katika miji mikubwa ya Tanzania, maafisa wa Polisi na Jeshi wenye silaha wakifanya doria.


Published

By Jason Nyakundi

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Usalama unaendelea kuimarishwa katika miji mikubwa ya Tanzania, maafisa wa Polisi na Jeshi wenye silaha wakifanya doria.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Wakati huo huo Serikali imeonya kuwa itachukua hatua dhidi ya mtu yeyote atakaye hamasisha vurugu.

Maafisa hao wame onekana kwa wingi katika mizunguko ya barabara, hali ambayo wengi wanadai kutokuwa ya kawaida.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now