Kwa sasa kuna wasiwasi kuwa kufikia wakati ambapo, wakimbizi wataruhusiwa kuingia nchini tena, hapatakuwa uwezo wakutosha wakuwasaidia.
Makato ya uwekezaji yalazimisha mashirika yakibinadam kupunguza huduma kwa wakimbizi

Pascasie Muderwa aliwasili Australia, kutoka DR Congo miaka 13 iliyopita Source: SBS
Moja ya mashirika makubwa yanayo toa huduma ya makazi kwa wakimbizi nchini Australia, inakabiliwa na changamoto yamakato kwa idadi ya wafanyakazi pamoja na uwekezaji, wakati idadi ya wateja wao inaendelea kupungua kwa sababu ya kufungwa kwa mipaka yakimataifa.
Share