Makato ya uwekezaji yalazimisha mashirika yakibinadam kupunguza huduma kwa wakimbizi

Pascasie Muderwa aliwasili Australia, kutoka DR Congo miaka 13 iliyopita

Pascasie Muderwa aliwasili Australia, kutoka DR Congo miaka 13 iliyopita Source: SBS

Moja ya mashirika makubwa yanayo toa huduma ya makazi kwa wakimbizi nchini Australia, inakabiliwa na changamoto yamakato kwa idadi ya wafanyakazi pamoja na uwekezaji, wakati idadi ya wateja wao inaendelea kupungua kwa sababu ya kufungwa kwa mipaka yakimataifa.


Kwa sasa kuna wasiwasi kuwa kufikia wakati ambapo, wakimbizi wataruhusiwa kuingia nchini tena, hapatakuwa uwezo wakutosha wakuwasaidia.

Vikwazo hivyo, vinaweza ongezeka kama uwezo wa huduma muhimu kwao, zina katwa.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now