Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani

Rishi Sunak becomes new PM

Rishi Sunak makes a speech outside 10 Downing Street, London, after meeting King Charles III and accepting his invitation to become Prime Minister and form a new government. Credit: Stefan Rousseau/PA/Alamy/AAP Image

Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.


Hii ni baada ya mpango huo kukataliwa na kubainisha migawanyiko mikubwa ndani ya chama chake.


Sunak anakabiliwa na changamoto kubwa sana katika kipindi chake cha mwaka mmoja madarakani wakati akijaribu kuwazuia wabunge wa chama hicho wa mrengo wa kulia wasipinge matakwa yao ya kuitaka Uingereza kuachana na mikataba ya kimataifa na kuwa na sera yake yenyewe ya uhamiaji.

Waziri wake wa uhamiaji alijiuzulu siku ya Jumatano na Sunak anakabiliwa na maswali kama anaweza kufanikisha sera yake kuu kupitia kura itakayopigwa katika bunge.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa hiyo pamoja na zingine kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service