Mama Elie afunguka jinsi volcano ya Mlima Nyiragongo iliathiri familia yake

Wakaazi wachunguza uharibifu wa volcano ya Mlima Nyiragongo

Wakaazi wachunguza uharibifu ulio sababishwa na mlipuko wa volcano wa Mlima Nyiragongo, Goma, DR Congo. Source: The New York Times

Wakaazi wa maeneo ya mji wa Goma, walijipata waki kimbilia usalama wao baada ya volcano kulipuka ghafla katika Mlima Nyiragongo.


Mlipuko wa volcano hiyo ulitokea bila onyo lolote, na ulisababisha vifo vya watu 15 pamoja na uharibifu wa zaidi ya nyumba 500 pamoja na mali nyingi sana.

Mama Elie ni mkaazi wa jimbo la Victoria, Australia. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alitueleza jinsi wanachama wa familia yake walijinusuru kutoka mlipuko wa volcano hiyo pamoja na uharibifu na hasara iliyo sababishwa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mama Elie afunguka jinsi volcano ya Mlima Nyiragongo iliathiri familia yake | SBS Swahili