Mark "karibuni Kusini Australia tusherehekee utamaduni wetu"

Bango la sherehe ya Jumuiya ya Kitwek Kusini Australia.jpg

Wa Kenya wanao ishi Australia, wana elekea mjini Adelaide, Kusini Australia kuhudhuria tamasha ya kila mwaka inayo andaliwa na jumuiya ya Kitwek jimboni humo.


Bw Mark Tony ni mmoja wa waandalizi wa tamasha hiyo, katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu umuhimu na lengo la tamasha hiyo kwa wanajumuiya wenza.

Bw Mark ali zungumzia pia matukio kadhaa ambayo, watakao hudhuria tamasha hiyo wanastahili tazamia.

Bonyeza hapo juu, kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mark "karibuni Kusini Australia tusherehekee utamaduni wetu" | SBS Swahili