Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mark "karibuni Kusini Australia tusherehekee utamaduni wetu"

Bango la sherehe ya Jumuiya ya Kitwek Kusini Australia.jpg

Wa Kenya wanao ishi Australia, wana elekea mjini Adelaide, Kusini Australia kuhudhuria tamasha ya kila mwaka inayo andaliwa na jumuiya ya Kitwek jimboni humo.


Check out our podcast collection here

Bw Mark Tony ni mmoja wa waandalizi wa tamasha hiyo, katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu umuhimu na lengo la tamasha hiyo kwa wanajumuiya wenza.

Bw Mark ali zungumzia pia matukio kadhaa ambayo, watakao hudhuria tamasha hiyo wanastahili tazamia.

Bonyeza hapo juu, kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now