Mark McGowan ataendelea kuhudumu kama kiongozi wa jimbo hilo, baada yakumshinda kiongozi wa upinzani Zak Kirkup, na sasa mtazamo ume elekea kwa jinsi chama cha Liberal kinaweza fanya mageuzi.
Mark McGowan aangamiza chama cha Liberal, katika uchaguzi Magharibi Australia

Mark McGowan says he is humbled to be re-elected as WA Premier. Source: AAP
Chama cha Labor kimeshinda muhula wa pili serikalini, katika uchaguzi wa jimbo la Magharibi Australia uliofanyika wikendi hii.
Share