Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mashabiki wa Shujaa wavunjwa moyo uwanjani

Mashabiki wa timu ya raga ya Kenya waonesha hisia zao uwanjani

Mashabiki wa timu ya raga ya Kenya waonesha hisia zao uwanjani Source: SBS Swahili

Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga 'Shujaa', wanajulikana kwa jinsi wanavyo shangilia timu yao katika mashindano yakimataifa.


Kama kawaida, mashabiki hao wali elekea katika uwanja wakiwa na matumaini makubwa, kwa jinsi timu yao itakavyo cheza katika michuano ya raga, ya wachezaji saba kila upande ya HSBC Sydney 7s ya 2020.

SBS Swahili ilihudhuria michuano hiyo nakuzungumza na baadhi ya mashabiki hao, katika uwanja wa Bankwest mjini Parramatta, New South Wales.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now