Mashabiki wa Shujaa wavunjwa moyo uwanjani

Mashabiki wa timu ya raga ya Kenya waonesha hisia zao uwanjani

Mashabiki wa timu ya raga ya Kenya waonesha hisia zao uwanjani Source: SBS Swahili

Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga 'Shujaa', wanajulikana kwa jinsi wanavyo shangilia timu yao katika mashindano yakimataifa.


Kama kawaida, mashabiki hao wali elekea katika uwanja wakiwa na matumaini makubwa, kwa jinsi timu yao itakavyo cheza katika michuano ya raga, ya wachezaji saba kila upande ya HSBC Sydney 7s ya 2020.

SBS Swahili ilihudhuria michuano hiyo nakuzungumza na baadhi ya mashabiki hao, katika uwanja wa Bankwest mjini Parramatta, New South Wales.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mashabiki wa Shujaa wavunjwa moyo uwanjani | SBS Swahili