Sababu yao kufika viwanjani ilikuwa kuwapa moyo timu yao, iliyokuwa ikishiriki katika kombe la Afrika, baada ya miaka mingi kuwa jangwani.
Mashabiki wapongeza juhudi za vijana wa Kenya, katika kombe la Afrika NSW, Australia

Vijana wa timu ya soka ya Kenya, washerehekea goli katika kombe la Afrika, jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili
Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, katika siku chache zilizo pita wamekuwa wakifika viwanjani kwa kishindo.
Share