Mashabiki wapongeza juhudi za vijana wa Kenya, katika kombe la Afrika NSW, Australia

Kenya yashiriki katika kombe la Afrika, Sydney

Vijana wa timu ya soka ya Kenya, washerehekea goli katika kombe la Afrika, jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, katika siku chache zilizo pita wamekuwa wakifika viwanjani kwa kishindo.


Sababu yao kufika viwanjani ilikuwa kuwapa moyo timu yao, iliyokuwa ikishiriki katika kombe la Afrika, baada ya miaka mingi kuwa jangwani.

Punde baada ya mechi ya mwisho yakundi A, mashabiki hao walichangia maoni yao kuhusu timu yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mashabiki wapongeza juhudi za vijana wa Kenya, katika kombe la Afrika NSW, Australia | SBS Swahili