Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Matt Gitau "wakati wakuongoza kulingana na katiba na matumaini yawa Kenya umefika"

Rais Rutto na Raila Odinga wakiwa pamoja na washirika wao, katika hafla ya kutia saini makubaliano ya kuchangia uongozi.jpg

Wakenya wana endelea kukabiliana na uongozi mpya wa mseto kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama kikuu cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM).


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wakenya wana endelea kukabiliana na uongozi mpya wa mseto kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama kikuu cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM).


Vinara wa mseto huo Dkt William S Rutto na Raila Odinga, walitia saini makubaliano ya ushirikiano katika uongozi wa nchi hiyo ndani ya ukumbi wa KICC.

SBS Swahili ilizungumza na Bw Matt Gitau, mgombea mtarajiwa katika uchaguzi mkuu ujao wa 2027 nchini Kenya. Katika mazungumzo hayo alifunguka kuhusu baadhi ya maswala yauongozi ambayo yeye na wananchi wenzake wanataka yafanyiwe kazi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now