Viongozi wa makundi mbalimbali yawa Kenya wanao ishi mjini Sydney, Australia wanajiandaa kukutana nawa bunge nama seneta kutoka Kenya.
Bw Matt ni mmoja wa viongozi ambao wame alikwa katika kikao hicho, katika mazungumzo na SBS Swahili alitueleza baadhi ya hoja atakazo wasilisha kwa niaba ya wanajumuiya.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.





