Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mchakato wa urithi ni upi nchini Australia

Australia Explained - Inheritance Laws

Your investments have been growing quite well Credit: AlexanderFord/Getty Images

Tofauti na nchi zingine, wa Australia huwa hawalipi kodi ya urithi kwa mali wanazo rithi.


Published

Updated

By Melisa Compagnoni

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Tofauti na nchi zingine, wa Australia huwa hawalipi kodi ya urithi kwa mali wanazo rithi.


Hata hivyo, kuna sheria kali za urithi na wakati zaidi ya 50% yawa Australia wanakufa bila wosia, mara nyingi mahakama hulazimishwa kuingilia kati.

Mtu anapo fariki, anaweza acha mali ambazo jamaa na marafiki hurithi. Mali hizo hujulikana kwa jina la ‘mali ya marehemu’ na, wanao pokea mali hiyo hujulikana kama wanufaika.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now