Britain's Prince Charles, right, and Camilla, the Duchess of Cornwall, listen as Britain's Queen Elizabeth II delivers the Queen's Speech, in the House of Lords, during the State Opening of Parliament, at the Palace of Westminster in London, Wednesday, June 4, 2014. Credit: Carl Court/AP/AAP Image
Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.
Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.
Hata hivyo, baadhi ya raia wa nchi wanachama wa jumuiya yamadola, wame pokea sherehe hiyo kwa hisia mseto.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, baadhi yao waliweka wazi hisia zao kuhusu hafla hiyo pamoja na masaibu wanayo pitia ughaibuni licha yakuwa wanatoka katika nchi wanachama wa jumuiya yamadola.