Mercy "hatuhisi faida zakuwa sehemu ya jumuiya yamadola"

QE2 Camilla and Charles

Britain's Prince Charles, right, and Camilla, the Duchess of Cornwall, listen as Britain's Queen Elizabeth II delivers the Queen's Speech, in the House of Lords, during the State Opening of Parliament, at the Palace of Westminster in London, Wednesday, June 4, 2014. Credit: Carl Court/AP/AAP Image

Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.


Hata hivyo, baadhi ya raia wa nchi wanachama wa jumuiya yamadola, wame pokea sherehe hiyo kwa hisia mseto.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, baadhi yao waliweka wazi hisia zao kuhusu hafla hiyo pamoja na masaibu wanayo pitia ughaibuni licha yakuwa wanatoka katika nchi wanachama wa jumuiya yamadola.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mercy "hatuhisi faida zakuwa sehemu ya jumuiya yamadola" | SBS Swahili