Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mercy 'Tumekuja huku kupata ujuzi kisha tuurudishe nyumbani Kenya"

Wakenya kwenye sherehe ya siku ya Mashujaa, mjini Sydney, NSW, Australia.jpg

Wakenya wanaendelea kuwasili nchini Australia kwa viza mbali mbali, baadhi yao wakija kama wahamiaji na wengine kama wanafunzi wakimataifa.


Asilimia kubwa ya wakenya ambao wako nchini Australia ni wanafunzi wakimataifa, ambao wanapata elimu katika taasisi mbalimbali kote nchini.

Tulipozungumza na baadhi ya wakenya hao kwenye sherehe za siku ya Mashujaa walifunguka kuhusu mipango yao pamoja na malengo yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now