Mercy 'Tumekuja huku kupata ujuzi kisha tuurudishe nyumbani Kenya"

Wakenya kwenye sherehe ya siku ya Mashujaa, mjini Sydney, NSW, Australia.jpg

Wakenya wanaendelea kuwasili nchini Australia kwa viza mbali mbali, baadhi yao wakija kama wahamiaji na wengine kama wanafunzi wakimataifa.


Asilimia kubwa ya wakenya ambao wako nchini Australia ni wanafunzi wakimataifa, ambao wanapata elimu katika taasisi mbalimbali kote nchini.

Tulipozungumza na baadhi ya wakenya hao kwenye sherehe za siku ya Mashujaa walifunguka kuhusu mipango yao pamoja na malengo yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mercy 'Tumekuja huku kupata ujuzi kisha tuurudishe nyumbani Kenya" | SBS Swahili