Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mgomo wamadaktari wa tikisa sekta ya matibabu Kenya

child

Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) ulizindua mgomo wa kitaifa ukitaka mazingira bora ya kazi na nyongeza ya mishahara Machi 13.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) ulizindua mgomo wa kitaifa ukitaka mazingira bora ya kazi na nyongeza ya mishahara Machi 13.


Wiki jana mahakama iliamuru kusitishwa kwa mgomo huo na kutaka mazungumzo yafanyike, lakini KMPDU ilitangaza kwamba itaendeleza hatua yake.

Madaktari hao wanapinga hasa uamuzi wa serikali unaolenga, kupunguza mishahara ya wahudumu wa afya na kurudisha nyuma umri wa kustahiki haki za kustaafu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now