Mh Dkt Mulimbalimba afunguka kuhusu juhudi, zakukabiliana na COVID-19 Kusini mwa Kivu, DR Congo

Mh Dkt Luc Mulimbalimba ndani ya studio za redio ya SBS, mjini Sydney, Australia

Mh Dkt Luc Mulimbalimba ndani ya studio za redio ya SBS, mjini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Chanjo za coronavirus zime anza kutolewa katika nchi nyingi duniani, nayo mataifa mengi barani Afrika yanaendelea kutafuta mbinu zakupata chanjo hizo.


Mh Dkt Luc Mulimbalimba, ni mbunge katika Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo pamoja nakuwa daktari wa binadam na mwanzilishi wa hospitali katika jimbo la Kusini Kivu.

Hospitali hiyo huwa hudumia wakazi wamaeneo ya jimbo hilo, pamoja na wakazi kutoka nchi jirani kama Burundi. Alipotembelea studio za Radio ya SBS, Mh Dkt Mulimbalimba aliweka wazi hatua ambazo serikali ya Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo, imechukua kukabiliana na janga hili la coronavirus pamoja na hatua ambazo amechukua yeye binafsi kama daktari, kutoa taarifa na huduma kwa wakaazi wa eneo bunge lake.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now