Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Mh JP Mwirigi "ili nchi ipate heshima yake, kuna miundombinu lazima ijenge"

Mh John Paul Mwirigi akizungumza na SBS Swahili.jpg

Maamuzi ya utoaji wa kandarasi ya ukarabati ya baadhi ya miundombinu, yame iweka serikali ya Kenya chini ya shinikizo kubwa hivi karibuni.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Maamuzi ya utoaji wa kandarasi ya ukarabati ya baadhi ya miundombinu, yame iweka serikali ya Kenya chini ya shinikizo kubwa hivi karibuni.


Vijana na watu wazima wame ikosoa serikali yao na hata kushiriki katika maandamano, yaliyo fanya serikali ibatilishe maamuzi yake.

Alipo zungumzia swala hili, Mh John Paul Mwirigi kutoka Igembe Kusini, alifunguka kuhusu msimamo wa wabunge kuunga mkono pendekezo za serikali kwa utoaji wa kandarasi za ukarabati, licha ya upinzani kutoka kwa wananchi.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now