Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Michael" viongozi wetu wanaweza fanya kazi kwa kasi wakitaka"

Seneti yabandua Naibu Rais wa Kenya madarakani.jpg

Siasa ya Kenya imetikiswa kwa kura ya kihistoria ndani ya Seneti iliyo sababisha Naibu Rais Rigathi Gachagua kubanduliwa mamlakani.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Siasa ya Kenya imetikiswa kwa kura ya kihistoria ndani ya Seneti iliyo sababisha Naibu Rais Rigathi Gachagua kubanduliwa mamlakani.


Bw Gachagua alipatwa na makosa 5 kati ya 11 yaliyo kuwa yakimkabili, hali hiyo ilikuwa na maana kwamba unaibu wa rais wa Bw Gachagua umesitishwa.

Bw Michael ni miongoni mwa maelfu ya wakenya wanao ishi Australia, yeye sawia na wakenya wenzake alifuatilia vikao hivyo vya seneti kwa kina.

Muda mfupi baada ya Seneti kutoa hukumu yake, Bw Michael ali eleza SBS Swahili hisia zake kuhusu aliyo shuhudia kutoka seneti.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now