Ubaguzi kwa Wahamiaji

Dr Siyat Abdi and his family

Dr Siyat Abdi and his family Source: SBS

Uchunguzi umegundua familia zaidi ya 15 za wahamiaji wanaoishi Australia hukumbana na kurudishwa makwao kila mwaka, kwa sababu mmoja wa wana familia ana ulemavu ambao hauendani na mahitaji ya uhamiaji. Makundi ya utetezi ya walemavu yanaishtaki serikali kwa kuvunja haki za binadamu na wanapeleka swala hilo Umoja wa Mataifa. Frank Mtao anatutaarifu.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service