Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ubaguzi kwa Wahamiaji

Dr Siyat Abdi and his family

Dr Siyat Abdi and his family Source: SBS

Uchunguzi umegundua familia zaidi ya 15 za wahamiaji wanaoishi Australia hukumbana na kurudishwa makwao kila mwaka, kwa sababu mmoja wa wana familia ana ulemavu ambao hauendani na mahitaji ya uhamiaji. Makundi ya utetezi ya walemavu yanaishtaki serikali kwa kuvunja haki za binadamu na wanapeleka swala hilo Umoja wa Mataifa. Frank Mtao anatutaarifu.



Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now