Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jamii zawahamiaji zasherehekea kufeli kwa jaribio la mageuzi ya sheria za uraia bungeni

Malcolm Turnbull (kushoto) na Peter Dutton (kulia) waki wasilisha muswada mapema mwaka huu

Malcolm Turnbull (kushoto) na Peter Dutton (kulia) waki wasilisha muswada mapema mwaka huu Source: AAP

Jamii toka tamaduni tofauti zime pokea kwa shangwe uamuzi wa Seneti waku zuia pendekezo laku fanyia mageuzi sheria ya uraia, ambalo lili feli kujadiliwa kwa wakati ulio faa ndani ya seneti ya taifa.


Published

Updated

By Samantha Beniac-Brooks

Presented by SBS Swahili

Source: SBS




Share this with family and friends


Jamii toka tamaduni tofauti zime pokea kwa shangwe uamuzi wa Seneti waku zuia pendekezo laku fanyia mageuzi sheria ya uraia, ambalo lili feli kujadiliwa kwa wakati ulio faa ndani ya seneti ya taifa.


Mageuzi hayo yange ongeza muda waku subiri kwa wakazi wenye viza zaku dumu kuwasilisha maombi ya uraia pamoja naku fanya mitihani ya kiingereza kuwa ngumu zaidi.

Mageuzi hayo yange mpa mamlaka ya ziada waziri wa uhamiaji, kama sehemu yaku fanya iwe vigumu kwa wahamiaji au wakimbizi kuwa raia wa Australia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now