Milton: "Lengo lakundi letu niku kutanisha naku unganisha wanaume"

Wanaume kutoka jamii yawa Kenya wanao ishi Melbourne, Victoria kwenye kikao cha Men Shed kinacho mulika nakutafuta suluhu kwa maswala ya wanaume..jpg

Wanaume kote duniani mara nyingi huwa wana lalamikia uhaba wa huduma, namashirika yanayo toa huduma zinazo walenga.


Milton Njanja ni mmoja wa viongozi katika jamii yawa Kenya wanao ishi Victoria. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Njanja aliweka wazi jinsi wanaume na wavaluna mjini Melbourne, hupata huduma kutoka kwa wanaume wenye uzoefu zaidi ndani ya jamii yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Milton: "Lengo lakundi letu niku kutanisha naku unganisha wanaume" | SBS Swahili