Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Milton: "Lengo lakundi letu niku kutanisha naku unganisha wanaume"

Wanaume kutoka jamii yawa Kenya wanao ishi Melbourne, Victoria kwenye kikao cha Men Shed kinacho mulika nakutafuta suluhu kwa maswala ya wanaume..jpg

Wanaume kote duniani mara nyingi huwa wana lalamikia uhaba wa huduma, namashirika yanayo toa huduma zinazo walenga.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wanaume kote duniani mara nyingi huwa wana lalamikia uhaba wa huduma, namashirika yanayo toa huduma zinazo walenga.


Milton Njanja ni mmoja wa viongozi katika jamii yawa Kenya wanao ishi Victoria. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Njanja aliweka wazi jinsi wanaume na wavaluna mjini Melbourne, hupata huduma kutoka kwa wanaume wenye uzoefu zaidi ndani ya jamii yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now