Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania wazua upinzani mkali11:05SBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (10.15MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Bunge la Tanzania limeridhia mkataba wa uendeshaji wa bandari nchini humo kati ya Serikali ya Tanzania na ya Dubai.Hata hivyo, vyama vya kisiasa na wananchi wana endelea kuhoji nakupinga mkataba huo.Dr Annefrida kutoka shirika la Sauti yawa Tanzania, ali eleza SBS Swahili kwa nini wanapinga mkataba huo.Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 26 Septemba 2025Taarifa ya Habari 23 Septemba 2025Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya OptusKamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC