Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania wazua upinzani mkali11:05SBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (10.15MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Bunge la Tanzania limeridhia mkataba wa uendeshaji wa bandari nchini humo kati ya Serikali ya Tanzania na ya Dubai.Hata hivyo, vyama vya kisiasa na wananchi wana endelea kuhoji nakupinga mkataba huo.Dr Annefrida kutoka shirika la Sauti yawa Tanzania, ali eleza SBS Swahili kwa nini wanapinga mkataba huo.Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesMakala leo:jinsi ya kutambua na kuepuka ulaghai wa AIYaliyojiri Afrika:kura zimeanza kuhesabiwa Uganda licha ya matatizo ya kiufundi hapo awaliTaarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkonoTaarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani