Mlipuko wa volkano katika jimbo la Kaskazani Kivu, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, ume wauwa watu 15, nakuharibu zaidi ya nyumba 500.
Mlipuko wa Mlima Nyiragongo ulizika mamia ya watu, ulipokuwa ukielekea katika mji wa Goma.
Moja ya volvano hatari sana duniani, ili lipuka Jumamosi 22 Mei 2021, nakugeuza anga katika maeneo hayo kuwa nyekundu.
Volkano hiyo ili lipuka mara ya mwisho mnamo mwaka wa 2002, naku uwa mamia yawatu nama elfu yawatu wakabaki bila makazi.
Share






