Mlipuko wa Mlima Nyiragongo ulizika mamia ya watu, ulipokuwa ukielekea katika mji wa Goma.
Moja ya volvano hatari sana duniani, ili lipuka Jumamosi 22 Mei 2021, nakugeuza anga katika maeneo hayo kuwa nyekundu.
Wakazi wakimbia volcano katika mlima Nyiragongo mjini Goma, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo 22 Mei, 2021. Source: AAP, EPA
Moja ya volvano hatari sana duniani, ili lipuka Jumamosi 22 Mei 2021, nakugeuza anga katika maeneo hayo kuwa nyekundu.
SBS World News