Mnyama alishwa nyasi J'burg

Eric Mathoho asherehekea goli lake dhidi ya Simba SC

Eric Mathoho asherehekea goli lake dhidi ya Simba SC Source: Kaiser Chiefs FC

Simba Sports Club ya Tanzania ili ingia dimbani dhidi ya Kaiser Chiefs ya Afrika kusini, katika mechi yakuwania nafasi katika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.


Mashabiki na viongozi wa timu ya Simba SC walikuwa na matumaini mengi ya timu yao kupata ushindi katika mechi hiyo, dhidi ya timu ambayo mshimu huu haijafanya vizuri katika mechi za nyumbani.

Hata hivyo, vijana wa Simba waliangukia pua katika mechi hiyo nakusalia wakijipa faraja katika kumbukumbu za historia zinazo onesha jinsi timu hiyo ilivyo jinusuru baada yakupata matokeo mabaya kama hayo.

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mnyama alishwa nyasi J'burg | SBS Swahili