Moise:"Sisi ni wakongomani na hakuna kabila ambalo lita ondoa kabila lingine Congo"

Wanachama wa jamii yawanyamurenge, waandamana nje ya bunge la taifa

Baadhi ya wanachama wa jamii yawanyamulenge waandamana nje ya bunge la taifa mjini Canberra Source: Banyamulenge NSW

Baadhi ya wanachama wa jamii yawanyamurenge wenye asili ya Kivu Kusini, katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wanao ishi nchini Australia, waliandamana mbele ya bunge la taifa mjini Canberra.


Kiongozi wa jamii hiyo alipozungumza na idhaa ya Kiswahili ya SBS, aliweka wazi sababu zao kuandamana mbele ya bunge la taifa.

Bofya hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now