Msimu wa majira ya joto wa hatari watabiriwa wakati watoto wanakosa mafunzo mhimu yakuogelea

New research reveals one in two children are not learning to swim, with 27% forced out of lessons due to COVID restrictions.

A group of kids are attending a swimming class. They are practicing kicking at the side of the pool. Source: Getty

Wa Australia wanatazamia msimu wa majira ya joto, kuwa nje na ndani ya maji baada ya mwaka ulio husu kuingia nakutoka ndani ya vizuizi.


Ila, wakati janga lime ahirisha mafunzo yakuogelea kwa muda mrefu kuliko ilivyo tarajiwa katika mwaka mzima wa 2021, inahofiwa baadhi ya watoto wako katika hatari ya ajali.

Kampeni yakitaifa ya taarifa, inalengo laku epusha majanga yakuzama majini.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Msimu wa majira ya joto wa hatari watabiriwa wakati watoto wanakosa mafunzo mhimu yakuogelea | SBS Swahili