Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mchambuzi wa michezo Bw Frank Mtao, alifunguka kuhusu yaliyojiri katika siku ya 20 na 21 ya Kombe la Dunia la FIFA 2026, pamoja nakupiga darubini kwa mechi zijazo.
Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.
Share






