Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?

Australian Prime Minister Anthony Albanese

Australian Prime Minister Anthony Albanese Source: Getty / Getty Images

Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.


Published

Updated

By Rania Yallop

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Sehemu kubwa ya baraza la mawaziri limesalia lilivyo kuwa.. pamoja na Richard Marles kusalia katika wizara ya Ulinzi na Naibu Waziri Mkuu, Jim Chalmers ata endelea kuwa mweka hazina, wakati Penny Wong ata endelea kuwa waziri wa mambo ya nje.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now