Nancy"Nivizuri kuzuia kuliko kujaribu kutengeneza, wakati janga imeharibu"

Fukwe ya Tamarama mjini Sydney ikiwa bila watu

Fukwe ya Tamarama mjini Sydney ikiwa bila watu. Source: Getty Images

Wakaaji wamaeneo ya Sydney, wame anza wiki yatatu yamakatazo na vizuizi vya kukabiliana na Coronavirus.


Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Nancy alichangia maoni yake kuhusu hatua ambazo serikali ya jimbo la New South Wales imechukua, kukabiliana na usambaaji wa virusi vya COVID-19 ndani ya jamii.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service