Uchunguzi mpya watarajiwa kupunguza vifo vya saratani ya kizazi

Sana inayo tumiwa kuongeza uelewa wa saratani miongoni mwa wanawake

Sana inayo tumiwa kuongeza uelewa wa saratani miongoni mwa wanawake Source: AAP

Wanawake nchini Australia sasa wata subiri muda wa miaka mitano kufanya mitihani ya saratani ya kizazi, hii ni baada ya uzinduzi wa kampeni mpya ya mpango wa uchunguzi waki taifa.


Vipimo hivyo vipya vita tumiwa badala ya vipimo vya zamani almaarufu pap smears, na inatarajiwa vita punguza idadi ya vifo kupitia ugonjwa huo kwa 20%.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service