New South Wales yarekodi ongezeko kubwa zaidi la COVID-19 mwaka huu

Kiongozi wa NSW Gladys Berejiklian ashauriana na Afisa Mkuu wa afya wa NSW Dr Kerry Chant

NSW Başbakanı Gladys Berejiklian (sol) ve Sağlık Müsteşarı Kerry Chant. Source: (AAP Image/Mick Tsikas)

Waziri wa Afya Greg Hunt amesema kazi inafanywa kuwa weka wa Australia ambao wako ng’ambo, ndani ya ndege zakuwarejesha nchini baada ya idadi ya wasafiri wanao ruhusiwa kurejea nchini kupunguzwa mara mbili.


Hali hiyo imejiri wakati jimbo la New South Wales limeshuhudia ongezeko kubwa zaidi la COVID-19 mwaka huu, jimbo hilo likiwa chini ya vizuizi kwa wiki nyingine moja.

Kufikia wakati tulikuwa tukiandaa makala haya, kuna kesi 47 ambazo zimethibitishwa jimboni Qld. Wakati huo huo, hakuna kesi yoyote mpya ambayo imerekodiwa katika jimbo la magharibi Australia, wakati mji wa Perth na kanda ya Peel zinaondoka kutoka makatazo ya siku 4.

Zaidi ya idadi ya watu milioni mbili mjini Perth na kanda ya Peel, walijeshewa baadhi ya uhuru wao, jana jumamosi baada ya makatazo ya siku nne kuisha usiku wakuamkia. Hakuna kesi mpya ndani ya jamii iliyo rekodiwa katika jimbo hilo, hatakama bado jimbo hilo lina kesi nne ndani ya karantini ya hoteli.

Vizuizi vya muda vitatekelezwa kwa siku tatu zijazo, zikijumuisha uvaaji wa barakoa ndani na nje yamajengo, na vikwazo kwa idadi ya watu ndani migahawa.

Mtu yeyote anaye safiri nje ya mji wa Perth na kanda ya Peel, lazima avae barakoa na hataruhusiwa kulia ndani ya baa, migahawa nama hoteli.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service