Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Nicky "Mwaka huu Taunet imelenga kufunza watoto wetu lugha na utamaduni wetu"

Bw Nicky Boit mkurugenzi wa matukio, katika shirika la Taunet Nelel jimboni Victoria.jpg

Wanachama wa shirika la Taunet Nelel Melbourne, wame andaliwa sherehe maalum na viongozi wao.


Nicky Boit ndiye Mkurugenzi wa Matukio, katika shirika la Taunet Nelel Melbourne.

Katika mahojiano na SBS Swahili, alifunguka kuhusu baadhi ya miradi ambayo uongozi wa shirika lake umefanya. Bw Boit alizungumzia pia maandalizi ya michuano ya michezo ambayo wanachama wa Taunet Nelel watashiriki pamoja na wageni walio alikwa kutoka majimbo mengine ya Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now