Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Ongezeko ya karo ya shule yafanya familia zi hisi shinikizo

Boys at Brisbane private school

Kuna salia wiki chache kwa mwaka wa shule wa 2025 kuanza, janga la gharama ya maisha lina endelea kuweka shinikizo kwa familia zinazo lipa karo ya shule.


Published

Updated

By Youssef Saudie

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kuna salia wiki chache kwa mwaka wa shule wa 2025 kuanza, janga la gharama ya maisha lina endelea kuweka shinikizo kwa familia zinazo lipa karo ya shule.


Sasa, utafiti mpya umefichua ambako baadhi ya sehemu ghali zakusomea nchini Australia zilipo na ambako familia zinaweza mudu.

Na shinikizo hizo hazipo tu kwa familia hiyo. Katika miaka 13 ya elimu, gharama wastan yakumtuma mtoto katika shule ya serikali katika miji mikubwa ime ongezeka kwa asilimia 30, nakuzidi $123,000.

Shule huru nazo zime shuhudia gharama wastan ziki ongezeka kwa asilimia 10 nakupita zaidi ya $350,000... hata hivyo gharama ya shule zawa Katoliki ilipungua kwa chini ya asilimia 1, hadi chini ya $194.000 kulinganisha na mwaka jana.

Maeneo ya kanda na vijijini nayo pia yali shuhudia kupungua kwa gharama. Maeneo ghali zaidi kwa elimu ya shule za serikali na shule huru ni mjini Sydney, wakati kwa shule za katoliki ni mjini Canberra ambako karo ni takriban (($215,633)).


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now