Pascazie "tunataka vunja mambo yakutengana, natuishi kwa misingi ya umoja"

Pascazie, kiongozi wa shirika la African Women Unity

Pascazie, kiongozi wa shirika la African Women Unity Source: Pascazie

Shirika la African Women Unity, huwakilisha wanawake kutoka kanda ya mashariki ya Afrika, wanao ishi mjini Sydney Australia.


Wanachama wa shirika hilo hushiriki katika miradi mbalimbali yakijamii, pamoja na miradi mingine ya elimu inayo andaliwa nakusimamiwa na viongozi wa shirika hilo.

Pascazie ndiye kiongozi wa shirika hilo, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS aliweka wazi baadhi ya kazi ya shirika lake, na alizungumzia pia tukio maalum ambalo yeye pamoja na viongozi wenza wana andalia wanachama wao kuadhimisha siku yawanawake iliyokuwa tarehe 8 Machi.

Tukio hilo litakuwa katika ukumbi wa Auburn Community Centre, 44a Macquarie Road, Auburn, NSW, Australia kuanzia saa nane za mchama Jumamosi 18 Machi. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now