Pasi:"Watu wa Wollongong tuna adhibiwa kwa dhambi za watu wa Sydney."

Picha ya fukwe na maeneo ya jiji la Wollongong

Picha ya fukwe na maeneo ya jiji la Wollongong Source: Wollongong 2022

Wakaaji katika kanda ya Wollongong wamejipata chini ya makatazo na vizuizi vyaku kabiliana na usambaaji wa COVID-19, baada ya ongezeko ya kesi hizo katika maeneo ya Sydney jimboni New South Wales.


Kujua jinsi amri ya mamlaka imepokewa na wakaaji wa Wollongong, Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na Bw Pasi ambaye aliweka wazi hisia zawakaaji wenza wa Wollongong, kwa amri ya makatazo na hatua zingine zakudhibiti usambaaji wa virusi hivyo vya COVID-19.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service