Penina aweka wazi umuhimu wakuzingatia afya yako ya akili

KCV Mental health run.jpg

Ugonjwa wa afya ya akili una endelea kuwa kero kwa watu na jumuiya nyingi kote duniani.


Viongozi wa jumuiya ya wakenya wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wamechukua hatua yaku kabili changamoto hiyo kupitia miradi na matukio mbali mbali ambayo wanajumuiya hualikwa kushiriki.

Bi Penina ni muuguzi na mtaalam wa ugonjwa wa afya ya akili mjini Melbourne. Ali eleza SBS Swahili jinsi anavyo saidia jumuiya yake kukabiliana na changamoto hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Penina aweka wazi umuhimu wakuzingatia afya yako ya akili | SBS Swahili