Peter afunguka kuhusu maandalizi ya sherehe ya Mashujaa Day Victoria

Viongozi wa Kenya Community Victoria kwenye hafla ya jumuiya yao.jpg

Wakenya kote duniani wana jumuika katika hafla za siku yaku waenzi Mashujaa wao.


Sherehe hizo zina hudhuriwa kote nchini Australia pia ambako, Bw Peter Wangengi yuko katika mustari wa mbele waku hakikisha jumuiya yawakenya wanao ishi Victoria wana chaguzi kadhaa ya matukio yaku hudhuria.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili Bw Peter aliweka wazi alivyo andalia wana jumuiya wenza katika siku ya sherehe za Mashujaa wao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Peter afunguka kuhusu maandalizi ya sherehe ya Mashujaa Day Victoria | SBS Swahili