Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Phylis "naomba wakenya wadumishe amani na viongozi wasikize maoni yetu"

Rais Ruto azungumza na taifa baada ya baadhi ya waandamanaji kuvamia bunge la Kenya..jpg

Maandamano ya vijana yanayo endelea Kenya, yame zua hisia mseto katika jamii.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Maandamano ya vijana yanayo endelea Kenya, yame zua hisia mseto katika jamii.


Wakenya wanao ishi Australia wame kuwa wakifuatilia matukio yanayo endelea nchini kwao kwa kina.

Bi Phylis ni mkaaji wa Adelaide, Kusini Australia. katika mazungumzo na SBS Swahili kuhusu maandamano yanayo endelea nchini kwao, alichangia ushauri wake kwa viongozi na vijana wenza.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now