Kupunguza bei ya umeme kwa idadi ya takriban wa Australia milioni nne wenye mapato ya chini, imeibuka kama moja ya hoja kuu ya mweka hazina Josh Frydenberg kwa wapiga kura, kabla ya kutangazwa kwa bajeti ya shirikisho jumanne ijayo.
Ahadi za uchaguzi zimetolewa pia na chama cha Labor, ambacho kime ahidi kupunguza matumizi ya plastiki pamoja nakuwateua wanawake wengi zaidi katika nyadhifa za juu za uongozi.
Share






