Waziri Mkuu asema msamaha kwa familia yaki Tamil, 'itakuwa mwaliko kwa wasafirishaji haramu wa watu'

Watetezi wa familia yaki Tamil ambayo serikali yataka fukuza nchini

Watetezi wa familia yaki Tamil waandamana kuihamasisha serikali iruhusu familia hiyo ibake nchini Australia Source: AAP

Serikali ya shirikisho inaendelea kupinga wito wakitaifa, wakuingilia kati kuzuia familia yaki Tamil kufukuzwa nchini.


Waziri Mkuu Scott Morrison, ameonya hatua yoyote kama hiyo yakuingilia kati, inaweza toa motisha kwa usafirishaji haramu wa watu.

Vita vyakisheria kwa niaba ya familia hiyo, vina endelea wakati familia hiyo inazuiwa ndani ya kituo cha uhamiaji cha Christmas Island.

Mahakama ya shirikisho itasikiza kesi hiyo Jumatano kabla ya, amri inayo zuia familia hiyo kurejeshwa Sri Lanka kuisha.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service