Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Prof Chacha "kuendelea kuahirisha uchaguzi hakuta leta amani au mafanikio Sudan Kusini"

The President of South Sudan Salva Kiir (R) and the rebel leader Riek Machar (L)

Kwa mara nyingine uchaguzi mkuu wa Sudan Kusini ume ahirishwa hadi Disemba 2026.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kwa mara nyingine uchaguzi mkuu wa Sudan Kusini ume ahirishwa hadi Disemba 2026.


Serikali ime dai miongoni mwa sababu zaku ahirisha uchaguzi mkuu ni kukosekana kwa maandalizi.

Prof Chacha Nyaigoti Chacha ni mtaalam wa diplomasia na mchanganuzi wa siasa ya Afrika Mashariki.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu masaibu yaki demokrasia ambayo raia wa Sudan Kusini wana kabili.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now